Kinda wa miaka 17 wa Guinea-Bissau Ansu Fati akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 86 ikiwalaza wenyeji, Inter Milan 2-1 katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan akiweka rekodi ya mchezaji mwenye mdogo zaidi kufunga kwenye michuano hiyo kihistoria. Bao la kwanza la Barca ambayo kwa ushindi huo inatinga hatua ya 16 Bora ikiungana naBorussia Dortmund, lilifungwa na Carles Perez dakika ya 23, wakati la wenyeji lilifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2E8L3pK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang FATI AFUNGA BAO LA REKODI BARCA YAICHAPA INTER MILAN 2-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/12/fati-afunga-bao-la-rekodi-barca.html. Terimakasih atas perhatiannya.