Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 34, 50 na 54 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Maksimir, Zagreb. Bao la nne la Man City lilifungwa na Phil Foden dakika ya 84, wakati la Dinamo Zagreb lilifungwa na Daniel Olmo dakika ya 10. Manchester City imeongoza kundi hilo kwa pointi zake 14, ikifuatiwa na Atalanta iliyomaliza na pointi saba baada ya kuwafunga wenyeji Shakhtar Donetsk 3-0 jana na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LMQKht
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms