Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris St Germain bao la tatu dakika ya 46 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Galatasaray kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Mauro Icardi dakika ya 32, Pablo Sarabia dakika ya 35, Kylian Mbappe dakika ya 63 na Edinson Cavani kwa penalti dakika ya 84. PSG imeongoza kundi kwa pointi zake 16, ikifuatiwa na Real Madrid iliyomaliza na pointi 11 baada ya kuifunga Club Brugge 3-1 na jana na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2PenRge
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NEYMAR AFUNGA PSG YAWACHAPA GALATASRAY 5-0 PARC DES PRINCES. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/12/neymar-afunga-psg-yawachapa-galatasray.html. Terimakasih atas perhatiannya.