Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KLABU ya Azam FC imeingia mkataba mpya wa miaka miwili na kiungo wake mkabaji, Mudathir Yahya Abbas.
Mkataba wa awali wa kiungo huyo ulikuwa unamalizika mwishoni mwa msimu huu, hivyo kwa kusaini mkataba mpya, kutamfanya aendelee kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2022.
Mudathir amekuwa na kiwango bora kwenye eneo la ukabaji tokea ajiunge na Azam Academy mwaka 2011, hadi kupandishwa timu kubwa miaka minne iliyopita.
Msimu huu amefanikiwa kuifungia bao moja Azam FC, kwenye ushindi wa 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL).
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/33gA6yc
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms