
REFA Heri Sasii amefungiwa miezi sita kwa kushindwa kuumudu mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baina ya wenyeji, Simba SC dhidi ya Singida Black Stars Mei 28 Uwanja wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam.
Taarifa ya Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) jioni ya leo baada ya kikao chake cha Juni 2 kupitia matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya maamuzi imesema kwamba refa Sasii alifanya matukio mengi yaliyoashiria kushindwa kutafsiri vyema sharia 17 za mchezo.
Aidha, Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadluraghman Davids raia wa Afrika Kusini naye ametozwa Faini ya Sh. Milioni 2 kwa kosa la kuishutumu Bodi kwamba ina ajenda tofauti kwa ratiba ambayo timu yake inapangiwa katika ligi hiyo.
Fadlu alitoa tuhuma hizo wakati anafanyiwa mahojiano na Azam TV baada ya mchezo huo ambao timu yake iliibuka na ushindi wa 1-0m bao pekee la mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda, Steven Dese Mukwala dakika ya 43 akimalizia kazi nzuri ya kiungo Muivory Coast, Jean Charles.
Nayo klabu ya Simba imetozwa Faini pia ya Sh. Milioni 5 baada ya mashabiki wake kurusha chupa za maji uwanjani wakati wa mchezo huo dhidi ya Singida Black Stars.
Naye mshambuliaji Mghana wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah amtozwa Faini ya Sh. Milioni 1 kufuatia kuwaonyesha ishara ya matusi mashabiki wa Simba pamoja na kung’oa kibendera cha kona.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG https://ift.tt/avHUkt6
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang REFA SASII AFUNGIWA MIEZI SITA, FADLU NA SOWAH WATOZWA FAINI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2025/06/refa-sasii-afungiwa-miezi-sita-fadlu-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.