MAMELODI Sundown imeweka mkono mmoja kwenye Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Zamalek ya Misri jioni ya leo katika fainali ya kwanza ya michuano hiyo Uwanja wa Lucas Moripe mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Shkurani kwa wafungaji wa mabao ya leo, mshambuliaji Mliberia Anthony Laffor dakika ya 31 akimalizia pasi ya kiungo Hlompho Alpheus Kekana, beki Tebogo Langerman dakika ya 40 akimalizia pasi ya mshambuliaji Mzimbabwe Khama Billiat na Islam Gamal aliyejifunga dakika ya 46.
Mamelodi sasa watahitaji kwenda kuulinda ushindi huo kwa kutokubali kufungwa zaidi ya 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Ijumaa ya Oktoba 21, mwaka huu mjini Cairo, Misri ili kutawazwa mabingwa wapya wa Afrika.
Zamalek iliingia Fainali baada ya kuitoa Wydad Casablanca kwa jumla ya mabao 6-5, wakishinda 4-0 nyumbani Cairo na kufungwa 5-2 ugenini Casablanca.
Mamelodi iliitoa Zesco United kwa jumla ya mabao 3-2 ikishinda 2-0 nyumbani baada ya kufungwa 2-1 Zambia.
Mabingwa wa Afrika msimu uliopita, TP Mazembe ya DRC mwaka huu hawakufuzu hatua ya makundi baada ya kuangukia kwenye Kombe la Shirikisho.
Hata hivyo, katika michuano hiyo midogo ya klabu barani, Mazembe imefanikiwa kufika fainali ambako itamenyana na MO Bejaia ya Algeria Oktoba 29 katika kabla ya kurudiana Novemba 6, mwaka huu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2e3WYZi
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAMELODI YAWEKA MKONO MMOJA KWENYE NDOO YA LIGI YA MABINGWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/mamelodi-yaweka-mkono-mmoja-kwenye-ndoo.html. Terimakasih atas perhatiannya.