Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
KLABU ya Simba inaweza kumkosa winga wake, Shizza Ramadhani Kichuya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumamosi dhidi ya Kagera Sugar.
Wasiwasi huo unatokana na mchezaji huyo tegemeo la timu kwa sasa kuumia kifundo cha mguu jana, Simba ikishinda 2-0 dhidi ya wenyeji, Mbeya City Uwanja wa Sokoine.
Daktari wa Simba SC, Yassin Gembe ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE leo kwamba watalazimika kuisikilizia hali ya Kichuya siku mbili hizi kabla ya kujua hatima yake kuelekea mchezo wa Jumamosi.
Shizza Kichuya anaweza kukosekana Jumamosi dhidi ya Kagera Sugar
Kichuya jana aliseti bao la kwanza lililofungwa na Ibrahim Hajib kabla ya kufunga la pili Simba SC ikijiimarisha kileleni kwa ushindi wa 2-0.
Hajib alianza kuifungia Simba SC dakika ya sita baada ya shuti lake la mpira wa adhabu kufuatianKichuya kuangushwa kumshinda mlinda mlango kutoka Malawi, Owen Chioma.
Kichuya mwenyewe akafunga bao la pili dakika ya 37 baada ya kuambaa na mpira wingi ya kushoto na kwenda kumtungua Chioma kwa shuti la mbali.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2dnj7BY
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms