Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI tegemeo la mabao la Yanga SC, Amissi Tambwe anatarajiwa kuendelea na mazoezi kesho kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC Jumapili.
Mpachika mabao huyo wa Burundi, aliumia dakika ya 87 jana baada ya kugongana na kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaaban Nditi na kupasuka juu ya jicho, hivyo kushindwa kuendelea na mchezo.
Hata hivyo, Yanga iliyokuwa imemaliza nafasi za kubadilisha wachezaji, ilimalizia pungufu na kufanikiwa kuulinda ushindi wa 3-1.
Amissi Tambwe anatarajiwa kuendelea na mazoezi kesho kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC Jumapili
Lakini Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE leo kwamba kinara huyo wa mabao wa wana Jangwani hao anaendelea vizuri na kesho ataanza mazoezi.
Yanga sasa inaelekeza nguvu zake kwenye maandalizi ya mchezo ujao baada ya ushindi wa 3-1 jana mbele ya Mtibwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2e3Wq4c
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TAMBWE YUKO FITI KUIVAA AZAM JUMAPILI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/tambwe-yuko-fiti-kuivaa-azam-jumapili.html. Terimakasih atas perhatiannya.