BODI ya Ndondi Uingereza (BBBofC) imesimamisha leseni ya bondia Tyson Fury baada ya jana usiku kuvua mikanda ya ubingwa wa dunia ya WBO na WBA jana usiku na kujitoa kwenye pambano la Wladimir Klitschko.
Katika taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa BBBofC, bodi hiyo imethibitisha kufungia leseni ya Fury hadi hapo uchunguzi utakapokamilika juu ya vipimo vya utumiaji wa dawa za kulevya na matibabu yake.
Bondia huyo mkorofi, hivi karibuni alijitoa kwenye pambano la marudiano na Wladimir Klitschko kwa mara ya pili mfululizo baada ya taarifa ya kitabibu kusema hayuko fiti, iliyotanguliwa na taarifa za kubainika anatumia dawa za kulevya aina ya cocaine.
Tyson Fury amepokonywa leseni ya kupigana baada ya kuvua mikanda ya ubingwa wa dunia ya WBO na WBA jana usiku
Tangazo la Fury kuvuliwa mikanda ya ubingwa linaashiria ujio wa pambano kati ya Klitschko na Anthony Joshua kuwania mataji hayo ambayo sasa yako wazi.
Promota Eddie Hearn awali alisema kwamba pambano la Joshua na Klitschko linaweza kuwapo tu kama kutakuwa na mkanda mwingine wa ubingwa wa kugombea.
Katika taarifa yake, bondia huyo mwenye umri wa miaka 28 amesema: "Nilishinda mataji hayo ulingoni na naamini ninapaswa kuyapoteza ulingoni, lakini siko tayari kuyatetea kwa wakati huu na nimechukua maamuzi magumu na ya kuudhi kuyavua rasmi sasa mataji yangu ya dunia na ninawatakia kila heri washindani wengine watakaoyawania wakati huu ninakabaliana na changmoto nyingine kubwa katika katika maisha yangu, ambayo ninajua, kama Klitschko, nitayashinda,".
Fury aliushangaza ulimwengu kwa kumpiga mbabe wa Ukraine, Klitschko Novemba mwaka 2015 na kutwaa pia taji la IBO, lakini mara mbili akajitoa kwenye pambano la kutetea mataji yake.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ek9Q0a
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TYSON APOKONYWA LESENI YA NDONDI BAADA YA KUMKACHA KLITSCHKO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/tyson-apokonywa-leseni-ya-ndondi-baada.html. Terimakasih atas perhatiannya.