Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIMBA SC wamewasilisha rufaa Bodi ya Ligi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudai pointi za mchezo dhidi ya Kagera Sugar uliofanyika Uwanja wa Kaitaba, Bukoba Jumamosi iliyopita.
Simba iliyofungwa 2-1 na wenyeji wao hao katika mchezo huo wa Ligi Kuu, imedai kwamba Kagera walimchezesha beki Mohammed Fakhi akiwa ana kadi tatu za njano.
Habari za ndani kutoka Simba zimesema kwamba mchezaji huyo alionyeshwa kadi katika kila mechi kati ya tatu mfululizo kabla ya kukutana na Wekundu wa Msimbazi na kwa mujibu wa kanuni hakuopaswa kushiriki mchezo wa Aprili 2.
Mohammed Fakhi anadaiwa kucheza dhidi ya Simba akiwa ana kadi tatu za njano
Wakati Kamati ya Saa 72 ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi Tanzania inatarajiwa kukutana kesho, Kagera Sugar wametoa angalizo dhidi ya malalamiko ya Simba.
Kocha wa Kagera Sugar, Mecky Mexime amesema kwamba Fakhi alikuwa huru kucheza mechi dhidi ya Simba kwa sababu alikuwa ameonyeshwa kadi mbili tu za njano.
“Mimi niko makini sana na masuala ya kadi ya wachezaji wangu. Kila mchezaji wangu anapoonyeshwa kadi naandika. Fakhi hakuwa na kadi tatu, Simba kama wameshindwa mpira uwanjani wasikimbilie kutafuta ushindi wa mezani kimizengwe,”alisema.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2nhaDmz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms