Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
YANGA SC inatarajiwa kuondoka Dar es Salaam Alhamisi kwenda Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Mouloudia Club Alger Jumamosi Uwanja wa Julai 5, 1962 mjini Algiers.
Mabingwa hao wa Tanzania wataendelea kumkosa kiungo wao Mzambia, Justin Zulu aliyeumia Aprili 1, mwaka huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa aliiambia Bin Zubeiry Sports – Online jana kwamba wanamtarajia Zulu kuanza mazoezi mepesi leo na hayumo kabisa kwenye mipango ya mchezo wa marudiano dhidi ya MC Alger.
Kuhusu orodha ya wachezaji watakaokwenda Algeria, Mkwasa alisema itajulikana baada ya mazoezi ya leo jioni.
Yanga iliyoshinda 1-0 katika mchezo wa kwanza Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, inahitaji kwenda kulazimisha sare tu ugenini ili kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya pili mfululizo mwaka huu.
Mwaka jana, Yanga pia ilicheza hatua ya makundi ya michuano hiyo baada ya kuitoa Sagrada Esperanca ya Angola ikitoka kutolewa na Al Ahly ya Misri katika Ligi ya Mabingwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2orPmWc
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA KUWAFUATA MC ALGER ALHAMISI BILA ZULU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/04/yanga-kuwafuata-mc-alger-alhamisi-bila.html. Terimakasih atas perhatiannya.