Na Mwandishi Wetu, KIGALI
AZAM FC jana imechapwa mabao 4-2 na Rayon Sport ya Rwanda katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Amahoro, Kigali.
Mabao ya Rayon yalifungwa na Pierre Kwizera dakika ya 30, Nshuti Savio dakika ya 49, Muhire Kevin dakika ya 67 na Shassir Nahimana dakika ya 90 na ushei, wakati ya Azam FC yalifungwa na Yahya Mohamed dakika ya 55 na Mudathir Yahya dakika ya 42.
Wamepigwa 4-2; Kikosi cha Azam FC kilichoanza jana dhidi ya Rayon
Unamkumbuka? Pierre Kwizera ambaye amewahi kuchezea Simba ya Dar es Salaam akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Rayon jana
Kocha Iddi Nassor ‘Cheche’ aliyekosa wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza ambao bado hawajaripoti kwa sababu mbalimbali, baada ya mchezo alisema uchovu uliwaponza.
“Nadhani ni uchovu, tumekuja kwa basi na baada ya siku moja tunaingia kwenye mchezo. Wenzetu walikuwa vizuri na walijiandaa kikamilifu matokeo yake wametufunga,”alisema.
Kikosi cha Rayon kilikuwa; Ndayishimiye Eric Bakame, Manzi Thierry, Mugabo Gabriel, Munezero Fiston, Niyonzima Olivier, Kwizera Olivier, Nova Bayama, Muhire Kevin, Nahimana Shassir, Kakule Mugheni Fabrice na Nshuti Savio Dominique.
Azam FC; Mwadini Ali/Metecha Mnata dk75, Ismail Gambo/Mohammed Ramadhan dk75, Bruce Kangwa, Abdallah Kheri, David Mwantika, Mudathir Yahya, Abdallah Masoud ‘Cabaye’, Frank Domayo, Yahya Mohammed/Joseph Kimwanga dk58, Yahya Zayed na Iddi Kipagwile.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2u5nMCe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM FC ‘YACHEZEA’ 4-2 KWA RAYON KIGALI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/07/azam-fc-yachezea-4-2-kwa-rayon-kigali.html. Terimakasih atas perhatiannya.