Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu Mromania wa Azam FC, Aristica Cioaba, amerejea nchini jana kutoka mapumzikoni nyumbani, tayari kuanza kuiandaa timu hiyo kwa msimu mpya.
Cioaba alikosekana kwenye ziara ya wiki moja iliyopita nchinio Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa Ligi Kuu ya Azam nchini humo, Azam FC.
Baada ya kikosi ch Azam FC kuwasili Dar es Salaam jana usiku kikitokea nchini Rwanda, wachezaji walipewa mapumziko ya siku moja kwa ajili kuondoa uchovu kabla ya kesho Jumatano kuendelea na maandalizi ya msimu mpya 2017-18.
Kikosi hicho kilikwenda jijini Kigali nchini humo kwa ajili ya kwenda kusherehesha ubingwa wa Ligi Kuu ya nchi hiyo (Azam Rwanda Premier League) walioutwaa Rayon Sports kwa kucheza nao mechi maalumu ya kirafiki walipokuwa wakikabidhiwa taji hilo Jumamosi iliyopita na kupoteza kwa mabao 4-2.
Mapumziko hayo hayawahusu wachezaji ambao hawakuwemo kwenye safari hiyo, ambao ni mabeki Aggrey Morris, Yakubu Mohammed, kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’, winga Enock Atta Agyei na mshambuliaji Wazir Junior.
Wachezaji wote waliotoka kwenye safari hiyo watatakiwa kuendelea na mazoezi kesho jioni wakiungana na wenzao chini ya Kocha Cioaba, isipokuwa Mbaraka Yusuph na Shaaban Idd, ambao ni wagonjwa na hivi sasa wakiendelea na matibabu.
Ni wachezaji watatu tu ambao bado hawajaripoti, ambao ni Waghana Daniel Amoah, mshambuliaji Samuel Afful na kiungo Mcameroon Stephan Kingue, ambao muda wowote kuanzia sasa watajiunga na wenzao.
Nahodha Msaidizi, Himid Mao ‘Ninja’, kiungo mpya Salmin Hoza, beki wa kushoto Gardiel Michael na winga Joseph Mahundi aliyeongezwa jana, wenyewe hawamo kikosini kutokana na kuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.
Wachezaji hao wapo Stars, inayoendelea na maandalizi kujiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) dhidi ya Rwanda ‘Amavubi’ utakaofanyika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza Jumamosi ijayo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2u7KcSS
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KOCHA MROMANIA AREJEA KUANZA KAZI RASMI AZAM. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/07/kocha-mromania-arejea-kuanza-kazi-rasmi.html. Terimakasih atas perhatiannya.