KLABU za Sudan zinazoshiriki michuano ya Afrika zimeondolewa kufuatia nchi yao kusimamishwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
FIFA imelifungia Shirikisho la Soka Sudan (SFA) katika barua yake ya Julai 6 iliyosainiwa na Katibu Mkuu wake, Fatma Samoura.
Kwa mujibu wa ibara ya 13 ya Katiba ya FIFA, SFA inapoteza haki zote za uanachama, na uwakilishi wa timu zake za taifa na klabu nao unafutwa pia.
Na kutokana na maamuzi hayo, klabu tatu za Sudan, El Hilal, El Merreikh zilizokuwa kwenye Ligi ya Mabingwa na Al Hilal Obeid iliyokuwa Kombe la Shirikisho zote zimeondolewa kwenye michuano hiyo.
Waziri wa Sheria wa Sudan aliagiza Rais wa SFA, Mutasim Gaafar Sir Elkhatim aondolewe Juni 2‚ na nafasi yake kuchukuliwa na Abdel Rahman Sir Elkatim jambo ambalo ni kinyume cha maelekezo ya FIFA, inayozuia Serikali kuingilia michezo.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2u0mHvl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms