MSHAMBULIAJI wa Atletico Madrid, Fernando Torres amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kubaki mji mkuu wa Hispania hadi Juni 2018.
Klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Hispania, maarufu kama La Liga imesema jana katika taarifa yake kwamba imemuongeza mkataba mchezaji huyo wa zamani wa Liverpool na Chelsea.
"Nina furafa kubaki hapa kwa mwaka mwingine,"amesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33, Torres, ambaye alijiunga na Atletico akiwa ana umri wa miaka 11 na amecheza jumla ya mechi 294.
Alipewa nafasi kucheza kwa mara ya kwanza kwenye kikosi cha kwanza mwaka 2001, na baadaye akawa Nahodha kabla ya kutimkia Liverpool mwaka 2007.
Akacheza pia Chelsea na AC Milan kabla ya mshindi huyo wa mataji mawili ya Uaya na Kombe la Dunia mwaka 2010 kurejea Atletico mwaka 2015.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2tTvAqJ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang TORRES ASAINI MKATABA MPYA ATLETICO MADRID. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/07/torres-asaini-mkataba-mpya-atletico.html. Terimakasih atas perhatiannya.