Mtokea benchi kipindi cha pili, Quincy Promes akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao la tatu dakika ya 114 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya England usiku wa Jumatano katika mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Dom Afonso Henriques mjini Guimaraes. England ilitangulia kwa bao la penalti la Marcus Rashford dakika ya 32 baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Matthijs de Ligt. Uholanzi ikazinduka kwa mabao ya Matthijs de Ligt dakika ya 73, Kyle Walker aliyejifunga dakika ya 97 baada ya kazi nzuri ya Promes aliyefunga bao la tatu. Sasa Uholanzi itakutana na Ureno katika fainali Juni 9, siku ambayo England itamenyana na Uswisi katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2I10IdD
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NI UHOLANZI NA URENO FAINALI LIGI YA MATAIFA YA ULAYA 2019. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2019/06/ni-uholanzi-na-ureno-fainali-ligi-ya.html. Terimakasih atas perhatiannya.