Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI chipukizi wa Tanzania, Tariq Seif Kiakala amewasili nchini kutoka Misri alipokuwa anacheza soka ya kulipwa kwa ajili ya kukamilisha mipango ya kujiunga na klabu ya Yanga.
Tariq Seif aliyekuwa anachezea klabu ya Dekernes FC ya Daraja la Pili nchini Misri ambayo alijiunga nayo msimu huu akitokea Biashara United ya Mara, amewasili leo nchini na kupokewa na Katibu Mkuu wa Yanga, David Ruhago.
Katika hatua nyingine, klabu ya Yanga imeshinda rufaa dhidi ya beki wake, Andrew Vincent Chikupe ‘Dante’, ambaye ametakiwa kuripoti kazini mara moja.
Yanga walimkatia mchezaji huyo rufaa hiyo TFF baada ya Dante kugoma akishinikiza alipwe kwanza stahiki zake mbalimbali, ikiwemo fedha za usajili.
Na baada ya tamko hilo la TFF, uongozi wa Yanga ukasema; “Uongozi wa mabingwa wa Kihistoria Tanzania,(Yanga SC) unamkaribisha tena kikosini beki @vicentandrew ‘Dante’ baada ya kumalizika kwa shauri la kesi baina ya pande mbili,”.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LPtPSR
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms