Beki na Nahodha, Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika ya tatu kwa penalti na 29 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Ukraine kwenye mchezo wa Kundi la Nne Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Ansu Fati dakika ya 32 na Ferran Torres dakika ya 84. Mechi nyingine ya kundi hilo jana, Uswisi ililazimishwa sare ya 1-1 na Ujerumani Uwanja wa St. Jakob-Park Jijini Basel, Ilkay Gundogan akianza kuwafungia Ujerumani dakika ya 14, kabla ya Silvan Widmer kuwasawazishia wenyeji dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3h3Lumf
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KAPTENI RAMOS APIGA MBILI HISPANIA YAICHAPA UKRAINE 4-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/09/kapteni-ramos-apiga-mbili-hispania.html. Terimakasih atas perhatiannya.