MSHAMBULIAJI wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe jana alipimwa na kukutwa na ugonjwa wa COVID-19 na atakosekana kwenye kikosi cha Ufaransa leo kikimenyana na Croatia katika mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya Uwanja wa Stade de France Jijini Paris.
Mbappe aliyefunga bao pekee kwenye ushindi wa 1-0 dhidi ya Sweden 1-0 Jumamosi, hilo likiwa bao lake la 14 kwenye timu yake ya taifa – alirudishwa nyumbani jana.
Shirikisho limesema Mbappe alifuzu vipimo vya awali kabla ya kuungana na wachezaji wenzake mazoezini na akafuzu pia vipimo vya pili Jumatano iliyopita kuelekea mechi na Sweden.
Kylian Mbappe atakosekana leo Ufaransa ikimenyana Croatia Ligi ya Mataifa Ulaya Uwanja wa Stade de France Jijini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2GFDBqS
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms