SHIRIKISHO la Soka Senegal (FSF) limethibitisha mechi mbili za kirafiki dhidi ya Morocco na jirani zao, Mauritania mwezi ujao.
Simba hao wa Teranga watasafiri kuwafuata Simba wa Atlas, Morocco Jijini Rabat Oktoba 9 kabla ya kuwakaribisha Mauritania siku nne baadaye Jijini Thies.
Mechi hizo zote mbili zitakuwa sehemu ya maandalizi ya mechi za kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon 2021 dhidi ya Djurtus ya Guinea-Bissau.
Kwa mujibu wa FSF, mechi zote zitachezwa bila mashabiki kuingia uwanjani kutokana na hofu ya ugonjwa wa COVID-19.
Senegal inaongoza katika Kundi I ikiwa na poniti sita baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Kongo na 4-1 dhidi ya Eswatini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2FhL5zH
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms