TIMU ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes imefuta uteja kwa Uganda baada ya ushindi wa 5-3 leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mabao ya Tanzania inayofundishwa na kocha mzoefu, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ yamefungwa na Abdul Suleiman matatu dakika ya 14 na 89 kwa penalti na dakika ya 57, Kelvin John dakika ya 16 na Khamis Shaaban dakika ya 75, wakati ya Uganda yamefungwa na Ivan Kakoza dakika ya 20, Ivan Bogere dakika ya 26 na Samuel Ssenyonjo dakika ya 73.
Mechi ya kwanza Uganda walishinda 1-0 Jumatano bao pekee la Ivan Bogere na michezo yote miwili ni maalum kwa timu hizo kujiandaa na Fainali za AFCON U20 zinazotarajiwa kufanyika nchini Mauritania kuanzia Februari 14 hadi Machi 4.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/36Ol7yJ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms