Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe (pichani kushoto) amesema kwamba Shizza Kichuya amemfanya asherehekee vizuri miaka 60 ya kuzaliwa kwake leo.
Kichuya amekuwa nyota wa mchezo kwa mara nyingine, akiseti bao la kwanza kabla ya kufunga mwenyewe la pili Simba SC ikishinda 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jioni ya leo.
Ushindi huo unawafanya vijana wa Joseph Marius Omog, kocha Mcameroon wafikishe pointi 23 baada ya kucheza mechi tisa za Ligi Kuu, wakiendelea kuongoza kwenye msimamo.
Na Hans Poppe amesema; “Kwa kweli nimefurahi mno, leo ninasherehekea kutimiza miaka 20 nikifurahia kazi nzuri ya Kichuya na wenzake,”.
Simba SC ilipata bao lake la kwanza dakika mbili kabla ya mapumziko, mfungaji kiungo Muzamil Yassin aliyemalizia kwa kichwa kona ya winga Kichuya.
Shizza Kichuya akafunga mwenyewe kwa penalti dakika ya 75 kuipatia Simba bao la pili baada ya beki Juma Ramadhani kumuangusha kwenye boksi Mohammed ‘Mo’ Ibrahim.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2e3S6U4
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms