Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limewatuliza Simba SC kuhusu Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ya kiungo Mussa Ndusha kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), likisema inaweza kuwasili wakati wowote kuanzia sasa.
Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas Mapunda aliiambia BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE jana kwamba wamewasiliana na Shirikisho la Soka DRC kuhusu ITC ya Ndusha na wamesema wanatuma.
“Yaani sisi tunawasubiri wao tu watume, wamesema wanatuma. Wakati wowote ikitumwa tutawapa Simba leseni waanze kumtumia,”alisema Mapunda.
ITC Mussa Ndusha (kulia) inaweza kuwasili wakati wowote kuanzia sasa kwa mujibu wa TFF
Ndusha ni mchezaji pekee wa kigeni ambaye Simba imemsajili msimu huu, lakini imeshindwa kumtumia kutokana na kuchelewa kwa ITC yake.
Wachezaji wengine wa kigeni wa Simba SC ni kipa Vincent Angban, mshambuliaji Frederick Blagnon wote raia wa Ivory Coast, mabeki Juuko Murshid kutoka Uganda, Janvier Besala Bokungu kutoka DRC, Method Mwanjali kutoka Zimbabwe na washambuliaji Laudit Mavugo kutoka Burundi.
Ndusha yumo mjini Mbeya na kikosi cha Simba SC ambako wamekwenda kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mbeya City.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2d9gbFJ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ITC YA MIDO MPYA MKONGO WA SIMBA IPO NJIANI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/itc-ya-mido-mpya-mkongo-wa-simba-ipo.html. Terimakasih atas perhatiannya.