Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
YANGA SC itawakosa beki wake, Vincent Bossou na mshambuliaji Malimi Busungu katika mchezo wake wa kesho dhidi ya Mtibwa Sugar.
Yanga itakuwa mwenyeji wa Mtibwa Sugar kesho Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na wawili hao hawatakuwepo kwa sababu mbalimbali.
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE leo kwamba, Bossou hatakuwepo kwa sababu amechelewa kurejea nchini baada ya kwenda kuitumikia timu yake ya taifa, Togo wakati mzalendo Busungu ana matatizo ya kifamilia.
Bossou hatakuwepo kwa sababu amechelewa kurejea nchini baada ya kwenda kuitumikia timu yake ya taifa, Togo
Bossou mwenye asili ya Ivory Coast, alikuwa nyumbani jana kuichezea Togo mechi ya kirafiki ikishinda 2-0 dhidi ya Msumbiji Uwanja wa Kegue mjini Lome.
Mabingwa watetezi, Yanga wameambulia pointi 11 kati ya 18 za mechi sita za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Yanga SC imetoa sare mbili, imefungwa mechi moja na kushinda tatu tangu kuanza kwa Ligi Kuu – hiyo ikiwa ni mbali na kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii mbele ya Azam kwa penalti 4-1 baada ya sare ya 2-2.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2d4p0FL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA KUWAKOSA BUSUNGU NA BOSSOU KESHO MECHINNA MTIBWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/yanga-kuwakosa-busungu-na-bossou-kesho.html. Terimakasih atas perhatiannya.