SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) imeiteua Gabon kuwa mwenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, kuchukua nafasi ya Madagascar iliyopokonywa uenyeji mwezi uliopita.
Uamuzi huo ulifanywa jana katika kikao cha Kamati ya Utendai ya CAF kilichofanyika katika hoteli ya Raddison Blu kueleka fainali ya AFCON ya wakubwa 2017 Afcon kati ya Cameroon na Misri.
Mapema mwezi huu, Kamati ya Utendaji ya CAF iliipokonya ghafla uenyeji Madagascar baada ya kubaini hawakutimiza vigezo.
Michuano hiyo itatoa timu nne ambazo zitaiwakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia la FIFA chini ya umri wa miaka 17 itakaofanyika nchini India baadaye mwaka huu. Niger walikuwa wenyeji wa Afcon iliyopita ya U-17 mwaka 2015 na Mali wakatwaa ubingwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jJ80bj
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang GABON WAPEWA UENYEJI WA AFCON YA U-17. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/gabon-wapewa-uenyeji-wa-afcon-ya-u-17.html. Terimakasih atas perhatiannya.