Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
KIINGILIO cha chini katika mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya wenyeji, Yanga SC na Ngaya Club de Mde ya Comoro kitakuwa Sh. 3,000 Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa leo ametaja viingilio vya mchezo huo katika Mkutano na Waandishi wa Habari makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam.
Mkwasa, Nahodha na kocha wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, alisema eneo la CIP A kiingilio kitakuwa Sh 20,000, VIP B Sh 10,000 na VIP C Sh 10,000.
Mechi hiyo itachezeshwa na marefa kutoka Uganda ambao ni Alex Muhabi Nsulumbi atayekapuliza filimbi uwanjani, akisaidiwa na washika vibendera Ronald Kakenya na Lee Okello.
Refa wa Akiba atakuwa Brian Nsubuga Miro huku Kamishna akitokea Afrika Kusini ambaye ni Monnyenyone Lucas Nhlapo.
Yanga ilishinda mabao 5-1 katika mchezo wa kwanza Jumapili mjini Moroni Comoro na wanatarajiwa kuwa na mteremko katika mchezo huo wa marudiano.
Kocha Msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi akiuzungumzia mchezo huo amesema wanajivunia ushindi mnono walioupata ugenini, kwani ni hazina tosha kwao.
“Lakini tunatambua umuimu wa mchezo wetu wa marejeano, ambao utafanyika siku ya Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, kikubwa tunawaomba mashabiki wetu na wanamichezo wajitokeze kwa wingi kuipa sapoti timu yao,”alisema.
Katika mchezo huo, Yanga itawakosa wachezaji wake nyota watatu, kiungo Haruna Niyonzima anayesumbuliwa na Malaria na washambuliaji Donald Ngoma na Amissi Tambwe ambao ni majeruhi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2kt0VMD
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KUZIONA YANGA NA NGAYA CLUB SH 3,000. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/kuziona-yanga-na-ngaya-club-sh-3000.html. Terimakasih atas perhatiannya.