Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Yanga, Mzambia George Lwandamina amesema kwamba Mungu pekee ndiye anajua nani atakuwa bingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu.
Mzambia huyo aliyeanza kazi Yanga SC Novemba mwaka jana, alisema hayo jana katika mazungumzo na Bin Zubeiry Sports - Online baada ya kuombwa tathmini yake juu ya mbio za ugingwa wa Ligi Kuu kwa sasa.
Yanga inaongoza Ligi Kuu kwa pointi zake 49 baada ya kucheza mechi 21, ikifuatiwa na watani wa jadi, Simba SC wenye pointi 48 za mechi 21 pia.
Na baada ya timu zote kushinda vizuri mechi zao za wikiendi, Yanga ikiifunga Stand United 4-0 Dar es Salaam na Simba ikiifunga Maji Maji 3-0 Songea – sasa zitakutana zenyewe Februari 25.
Na kuelekea mchezo huo, Lwandamina amesema; “Siwezi kuzungumzia mchezo huo, bado ni mapema sana,”.
Lakini akakataa pia kutoa tathmini yake juu ya mbio za ubingwa baada ya timu zote kushinda wikiendi hii akisema; “Siwezi kusema chochote juu ya hilo, ni Mungu pekee ndiye ajuaye,”alisema.
Baada ya kuitandika Stand United 4-0 mabao ya Donald Ngoma, Simon Msuva, Obrey Chirwa na Nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Yanga itasafiri Ijumaa kwenda Comoro kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Ngaya Club.
Watacheza Jumapili Comoro kabla ya kurudiana juma linalofuata Dar es Salaam na baada ya hapo watakwenda mafichoni kwa ajili ya mchezo dhidi ya Simba, Februari 25.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2kyuqt0
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang LWANDAMINA: UBINGWA, MUNGU NDIYO ANAJUA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/lwandamina-ubingwa-mungu-ndiyo-anajua.html. Terimakasih atas perhatiannya.