Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Yanga SC, umewasamehe na kuwarejesha kundini wanachama wake watatu, Ayoub Nyenzi, Hashim Abdallah na Salum Mkemi ambao walisimamishwa katika Mkutano wa Agosti 6, mwaka jana.
Taarifa ya Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa kwa vyombo vya Habari leo imesema kwamba Mwenyekiti wa klabu, Yussuf Manji ametoa msamaha kwa wanachama hao, ambao pia walikuwa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.
Katika mkutano Mkuu wa dharula wa Yanga SC Agosti 6, mwaka jana, Manji mwenyewe aliwafukuza uanachama Mkemi, Abdallah na Nyenzi kwa sababu alisema hayuko tayari kufanya kazi na Wajumbe hao wa Kamati ya Utendaji.
Hashim Abdallah (kulia) alisimamishwa uanachaam wa Yanga katika Mkutano wa Agosti 6, mwaka jana
Manji aliwaambia wanachama wa Yanga wanaowataka akina Abdallah, Mkemi na Nyenzi wajitokeze kupiga kura, lakini hakuna aliyeinuka.
Baada ya kurudia kuita mara tatu, Hashim pekee kati ya watatu hao ambaye alikuwepo mkutanoni ukumbi wa Diamond Jubilee, akainuka na kuondoka. Mkemi na Nyenzi hawakutokea kwenye Mkutano huo.
Kwa sasa, Manji anashikiliwa na Jeshi la Polisi nchini kwa mahojiano kufuatia kutajwa kwenye orodha ya watu 65 wanaoshukiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2lIdi4m
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MANJI AWARUDISHA KUNDINI HASHIM, MKEMI NA NYENZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/manji-awarudisha-kundini-hashim-mkemi.html. Terimakasih atas perhatiannya.