Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BONDIA Mohammed Matumla ametakiwa kupumzika kwa miezi 10 hadi 12 kufuatia kupigwa Knockout (KO) mbaya na Mfaume Mfaume Februari 5, mwaka huu Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.
Matumla alilazimika kukimbizwa hospitali baada ya raundi 10 na ya mwisho kupigwa KO mbaya kufuatia kusukumiwa ngumi nyingi mfululizo kichwani na Mfaume Jumapili.
Mtoto huyo wa bondia gwiji wa zamani nchini, Rashid Matumla alifikishiwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika hospitali ya Muhimbili, kabla ya juzi kutolewa na kuwekwa wadi ya kawaida.
Mohammed Matumla (kulia) ametakiwa kupumzika kwa miezi 10 hadi 12 kufuatia kupigwa KO na Mfaume Mfaume
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online jana, baba na kocha wa bondia huyo, Rashid ‘Snake Man’ Matumla alisema kwamba hali ya mwanawe sasa inaendelea vizuri, lakini Daktari amesema atatakiwa kupumzika kwa miezi 10 hadi 12.
Akizungumzia kilichotokea kwenye pambano hilo, Matumla alisema kwamba ngumi ni michezo kama mingine, unatakiwa kuwa makini mwanzo hadi mwisho, kitu ambacho anadhani mwanawe alikosa.
“Moudy (Mohammed) aliongoza pambano vizuri sana na alikuwa anasubiri sekunde chache tu liishe atangazwe mshindi kwa pointi. Lakini akasahau anapigana na bondia mwenye mkono mzito, matokeo yakawa hivyo. Ni mambo ya kawaida katika michezo,”alisema.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2kGyWpF
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MATUMLA ATAKIWA KUPUMZIKA MWAKA MZIMA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/matumla-atakiwa-kupumzika-mwaka-mzima.html. Terimakasih atas perhatiannya.