Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
BAO pekee la Laudit Mavugo leo limetosha kuipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya African Lyon katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Burundi, alifunga bao hilo dakika ya 57 baada ya kumzidi maarifa beki wa Lyon, Hassan Isihaka na kufumua shuti dhaifu lililompita kipa Mcameroon, Rostand Youthe kufuatia pasi ya mshambuliaji Ibrahim Hajib.
Simba SC sasa inakuwa timu ya kwanza kwenda Robo Fainali ya michuano hiyo, hatua ambayo walikomea msimu uliopita baada ya kutolewa na Coastal Union ya Tanga.
Hiyo ilifuatia dakika 45 ngumu za kipindi cha kwanza, Lyon wakicheza kwa kujihami zaidi na kuizuia kabisa Simba kupata bao.
Lyon hawakuwa na shambulizi la maana katika mchezo huo hadi walipofungwa na walipaozma kujaribu kupeleka mipira langoni mwa Simba.
Lakini leo safu ya ulinzi ya Simba inayofundishwa na Mcameroon, Joseph Marius Omog iliyoongozwa na Novaty Lufunga na Abdi Banda ilikuwa makini.
Kiungo aliyetokea benchi kipindi cha pili Mohammed ‘Mo’ Ibrahim almanusra aipatie Simba bao la pili dakika ya 84 kama si mpira aliopiga kwa kichwa mpira kugonga mwamba kufuatia krosi ya beki Mkongo, Janvier Besala Bokungu.
Kikosi cha Simba kilikuwa: Daniel Agyei, Janvier Bokungu, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Abdi Banda, Jonas Mkude, Novaty Lufunga, James Kotei, Said Ndemla/Mohammed ‘Mo’ Ibrahim dk70, Laudit Mavugo/Pastory Athanas dk85, Ibrahim Ajibu na Juma Luizio/Shiza Kichuya dk59.
African Lyon: Rostand Youthe, Miraji Adam, Baraka Jaffary, Omary Salum, Hamad Waziri, Hassan Isihaka, Peter Mwalianzi, Hamad Manzi/Awadh juma dk49, Rehani Kibingu, Venance Joseph na Omary Daga/Fred Cossmas dk72.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2lPbFVW
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAVUGO AIPELEKA SIMBA ROBO FAINALI KOMBE LA ASFC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/02/mavugo-aipeleka-simba-robo-fainali.html. Terimakasih atas perhatiannya.