Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KOCHA wa Simba, Mcameroon Joseph Marius Omog na leo amewaanzisha wote Juma Luizio, Ibrahim Hajib na Mrundi, Laudit Mavugo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Prisons ya Mbeya.
Na hiyo inafuatia kuwapanga pamoja wote katika mchezo dhidi ya Maji Maji Songea Jumamosi iliyopita na wakaiwezesha Simba SC kushinda 3-0 katika mchezo huo wa Ligi Kuu.
Kwa ujumla, Omog hajafanya mabadiliko makubwa sana kutoka kikosi kilichoifunga Maji Maji 3-0 Jumamosi iliyopita.
Joseph Omog amepanga 'kikosi kazi' mechi na Prisons ya Mbeya leo Uwanja wa Taifa
Kikosi kinachoanza Simba leo; Daniel Agyei, Janvier Bokongu, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Novaty Lufunga, Method Mwanjali, James Kotei, Said Ndemla, Muzamil Yassin, Laudit Mavugo, Ibrahim Hajib na Juma Luizio.
Benchi; Peter Manyika, Vincent Costa, Jonas Mkude, Mwinyi Kazimoto, Shiza Kichuya, Hija Ugando na Pastory Athanas.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2l4tnn0
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms