Kiungo wa Chelsea, Mfaransa N'Golo Kante mwenye umri wa miaka 26 akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligi Kuu ya England baada ya kukabidhiwa jana kufuatia kuwapiku wachezaji wenzake wa The Blues, Eden Hazard na Cesar Azpilicueta, nyota watatu wa Tottenham Hotspur, Harry Kane, Dele Alli na Jan Vertonghen, Romelu Lukaku wa Everton na Alexis Sanchez wa Arsenal.
Hiyo inakuwa tuzo ya tatu msimu huu kwa mchezaji huyo aliyejiunga na Chelsea msimu huu na kuipa ubingwa wa Ligi Kuu akitoka Leicester City aliyoipa taji hilo msimu uliopita, kwani tayari ameshinda tuzo za Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Soka na Mchezaji Bora wa Mwaka na Chama cha Wachezaji wa Kulipwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2rqxoFK
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms