Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
KOCHA Mholanzi, Hans van der Pluijm ameendelea kuiumiza timu yake ya zamani, Yanga SC baada ya leo kufikia makubaliano na kiungo Deus David Kaseke.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online leo mjini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Singida United, Sanga Festo amethibitisha mpango wa kumchukua mchezaji huyo mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira.
“Kweli tumekwishafikia makubaliano naye (Kaseke), hivyo kesho ataungana na wenzake Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya,” amesema Sanga Festo.
Kiungo Deus Kaseke amekubali kuondoka Yanga akajiunge na Singida United
Kaseke ambaye Agosti 27, mwaka huu atatimiza umri wa miaka 23, anakuwa mchezaji wa pili wa Yanga ndani ya wiki moja kuhamia Singida United, baada ya mwanzoni mwa wiki kipa Ally Mustafa ‘Barthez’ kutangulia.
Na wote wanaondoka Jangwani kama wachezaji huru baada ya kumaliza mikataba yao na klabu hiyo bingwa ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Kaseke alijiunga na Yanga mwaka juzi akitokea Mbeya City ya Mbeya na baada ya miaka miwili ya kushinda mataji mawili ya Ligi Kuu, Ngao ya Jamii na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC) kwake imtosha na anakwenda kutafuta changamoto nyingine.
Dalili za Kaseke kuondoka Yanga zilianza kuonekana mapema tu, kutokana na kuchukua muda mrefu katika majadiliano ya mkataba mpya.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2vIhk0H
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KASEKE KWAHERI YANGA, AKUBALI KUTUA SINGIDA UNITED. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/07/kaseke-kwaheri-yanga-akubali-kutua.html. Terimakasih atas perhatiannya.