Na Mwandishi Wetu, GENK
NYOTA ya mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta imeendelea kung’ara barani Ulaya, baada ya leo kuifungia timu yake, Genk katika sare ya 1-1 na Everton ya England katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk, Ubelgiji.
Nahodha wa Taifa Stars, Samatta aliifungia Genk bao la kusawazisha dakika ya 55 baada ya mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney kuanza kuifungia Toffees dakika ya 45.
Mbwana Samatta akifumua shuti kuifungia bao la kusawazisha Genk leo
Mbwana Samatta akimtoka beki mpya wa kati wa Everton, Michael Keane leo
Huo unakuwa mchezo wa 63 kwa Samatta tangu asajiliwe Genk Januari mwaka jana kutoka TP Mazembe ya DRC, akiwa kufunga mabao 24.
Ikumbukwe katika msimu wake wa kwanza, Samatt alikabidhiwa jezi namba 77, lakini baada ya kazi nzuri, msimu huu amebadilishiwa jezi na kukabidhiwa namba 10.
Kikosi cha Genk kilikuwa: Jackers, Nastic, Brabec/Seigers dk86, Colley, Khammas, Berge, Malinovskyi/Heynen dk75, Trossard, Buffel/Writers dk72, Benson/Zhegrova dk75 na Samatta/Vanzeir dk62.
Everton: Pickford/Stekelenburg dk46, Schneiderlin/Connolley dk67, Baines/Barry dk67, Keane, Williams/McCarthy dk73, Ramirez/Mirallas dk46, Rooney/Calvert Lewin dk79, Gueye/Davies dk73, Klaassen/Besic dk73, Dowell/Lookman dk67 na Holgate/Martina dk46.
 |
| Wayne Rooney akiifungia bao la kuongoza Everton leo Uwanja wa Luminus Arena |
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2umnkwI
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA, ROONEY WAFUNGA GENK NA EVERTON ZATOA SARE 1-1. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/07/samatta-rooney-wafunga-genk-na-everton.html. Terimakasih atas perhatiannya.