WINGA wa Bolton Wanderers, Sammy Ameobi atakuwa nje kwa wiki sita baada ya kupata maumivu kidogo kwenye goti.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25, aliumia goti katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya dhidi ya Stoke City na akalazimika kufanyiwa upasuaji.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Newcastle United, Ameobi amejiunga tena na Bolton Julai 14 baada ya kufunga mabao manne tu katika mechi 28 akicheza kwa mkopo msimu uliopita.
Bolton walianza vibaya kampeni yao ya kuwania kurejea Ligi Kuu England baada ya kufungwa 3-2 nyumbanj na Leeds United Uwanja wa Macron mjini Bolton katika mechi ya ufunguzi ya Championship.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hC8Y8R
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AMEOBI NJE WIKI SITA BOLTON KWA MAUMIVU YA GOTI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/08/ameobi-nje-wiki-sita-bolton-kwa-maumivu.html. Terimakasih atas perhatiannya.