Na Mwandishi Wetu, DODOMA
MBAO FC pekee imechomoza na ushindi katika mechi za ufunguzi za Ligi Kuu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, inayoshirikisha vikosi vya pili vya klabu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Mbao ya FC ya Mwanza imeibuka na ushindi wa 1-0, dhidi ya Mbeya City FC, bao pekee la Aman Anuar dakika ya pili katika moja ya mechi nne za ufunguzi za michuano hiyo inayojulikana kama Kombe la Uhai, ikidhaminiwa na Azam TV.
Mechi nyingine za leo, ambazo zote zimeonyeshwa moja kwa moja na Azam TV, baina na Yanga SC ya Dar es Salaam na Ruvu Shooting ya Pwani, Azam FC ya Dar es Salaam na Mtibwa Sugar ya Morogoro na Mwadui FC ya Shinyanga na Maji Maji ya Songea mkoani Ruvuma zote zimemalizika kwa sare ya 0-0.
 |
| Kikois cha kwanza cha Mbao FC msimu huu, ambacho wadogo zao leo wameanza vizuri Kombe la Uhai |
Michuano hiyo itaendelea kesho kwa mechi nne pia, mabingwa watetezi, Simba SC ya Dar es Salaam wakimenyana na Singida United, Tanzania Prisons ya Mbeya na Lipuli FC ya Iringa Saa 8:00 mchana, Stand United ya Shinyanga ikimenyana na Njombe Mji FC na Kagera Sugar ya Bukoba ikimenyana na Ndanda FC Saa 10:00 jioni.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2LCu2WL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms