Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, KMC imeendelea kujipanga kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya kumsajili kiungo mshambuliaji, Abdul Hillary Hassan kutoka Tusker FC ya Kenya.
Ofisa Habari wa KMC, Walter Harrison amesema kwamba Hassan amejiunga rasmi na klabu ya KMC FC kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Kiungo mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 23, urefu wa futi 6 na anayetumia miguu yote kwa ufasaha anakuwa mchezaji mpya wa tano kusajiliwa KMC baada ya kipa Juma kaseja na mabeki Aaron Lulambo, Sadallah Lipangile na Ali Ali.
Ofisa Habari wa KMC, Walter Harrison (kushoto) akibadilishana mikataba na Abdul Hillary Hassan
Na hadi sasa KMC ina wachezaji saba tu wenye mikataba, wakiwemo wawili viungo Abdulhalim Humud na Adam Kingwande waliokuwemno kwenye kikosi kilichpandisha timu kutoka Daraja la Kwanza chini ya kocha Freddy Felix MInziro.
Tayari Minziro amekwishaondolewa na nafasi yake imechukuliwa na Mrundi Ettienne Ndayiragijje ambaye misimu miwili iliyopita alikuwa Mbao FC ya Mwanza.
Abdul Hillary Hassan ni mchezaji aliyeibukia katika kituo cha kulea vipaji vya wanasoka cha DYOC (Dar es Saalam Youth Olimpic Centre).
Msimu wa 2014-2016 alichezea African Lyon ya Dar es Salaam katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara kabla ya kuhamia Tusker FC ya Ligi Kuu ya Kenya mwaka jana, ambayo ilimpa nafasi ya kuitwa kwenye kikosi cha Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kwa ajili ya michuano ya CECAFA Challenge.
Hata hivyo, Kilimanjaro Stars iliyokuwa chini ya Kocha Mkuu, Ammy Ninje haikufanya vyema katika michuano hiyo iliyofanyika nchini Kenya baada ya kutolewa hatua ya makundi tu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2zGOWTN
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms