Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imebadili kupitisha mfumo wa Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara juu ya timu za kushuka na kupanda.
Na kuanzia msimu ujao FDL itachezwa katika makundi mawili yenye timu 12 na timu 1 kutoka kila kundi itapanda kwenda Ligi Kuu wakati timu zitakazoshika nafasi ya pili na ya tatu katika makundi yote zitacheza mtoano kwa mechi za nyumbani na ugenini.
Taarifa ya TFF imesema kwamba washindi katika mechi hizo watacheza na timu zilizoshika nafasi ya 17 na 18 katika Ligi Kuu kupata timu mbili zitakazocheza Ligi Kuu, huku timu mbili za nafasi ya 19 na 20 zikishuka daraja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. John Pombe Joseph Magufuli (kulia) akisalimiana na wachezaji wa Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba Mei 19, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Timu hizo mbili za Ligi Kuu zilizoshika nafasi ya 17 na 18 kama zitapoteza michezo yao zitashuka Daraja kuungana na zilizoshika nafasi ya 19 na 20 na TFF imesema kwamba inafanya hivyo ili kuongeza ushindani wa Ligi Kuu, FDL na SDL.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2mi1Aiv
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms