Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya KMC ya Kinondoni leo imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, Cliff Anthony Buyoya dakika ya 84 aliyemalizia mpira uliotemwa na kipa Owen Chaima baada ya shuti la Emmanuel Mvuyekure aliyeunganisha krosi ya Ally Msengi.
Na sasa KMC, timu inayomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni inafikisha pointi 16 baada ya kucheza mechi 13, ingawa inabaki nafasi ya 10 katika Ligi ya timu 20, nyuma ya Singida United yenye pointi 17 za mechi 13 na mbele ya Kagera Sugar yenye pointi 16 za mechi 12.
Mechi ya leo, ilikutanisha makocha wa Burundi watupu, Ramadhani Nswazurimo wa Mbeya City na Etienne Ndayiragijje wa KMC iliyopanda Ligi Kuu simu huu.
Nswazurimo yupo katika msimu wa pili Mbeya City, wakati Ndayiragijje amejiunga na KMC msimu huu baada ya misimu miwili ya kuwa na Mbao FC ya Mwanza.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2RytzIb
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms