• Home
  • About Us
  • Contact Us
  • Disclaimer
  • Sitemap
  • Privacy Policy

Viral Sports

MENU

  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
  • BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE
  • BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
  • Hollywoodbets Sports Blog

Mengenai Saya

admin blog
Lihat profil lengkapku

Arsip Blog

  • ►  2025 (281)
    • ►  Desember (33)
    • ►  November (4)
    • ►  September (1)
    • ►  Juli (2)
    • ►  Juni (8)
    • ►  Mei (44)
    • ►  April (66)
    • ►  Maret (36)
    • ►  Februari (57)
    • ►  Januari (30)
  • ►  2024 (832)
    • ►  Desember (57)
    • ►  November (49)
    • ►  Oktober (54)
    • ►  September (67)
    • ►  Agustus (63)
    • ►  Juli (78)
    • ►  Juni (68)
    • ►  Mei (84)
    • ►  April (92)
    • ►  Maret (77)
    • ►  Februari (65)
    • ►  Januari (78)
  • ►  2023 (1299)
    • ►  Desember (79)
    • ►  November (75)
    • ►  Oktober (88)
    • ►  September (95)
    • ►  Agustus (112)
    • ►  Juli (125)
    • ►  Juni (126)
    • ►  Mei (117)
    • ►  April (148)
    • ►  Maret (135)
    • ►  Februari (82)
    • ►  Januari (117)
  • ►  2022 (1404)
    • ►  Desember (71)
    • ►  November (79)
    • ►  Oktober (117)
    • ►  September (120)
    • ►  Agustus (115)
    • ►  Juli (119)
    • ►  Juni (121)
    • ►  Mei (123)
    • ►  April (121)
    • ►  Maret (119)
    • ►  Februari (130)
    • ►  Januari (169)
  • ►  2021 (2522)
    • ►  Desember (170)
    • ►  November (124)
    • ►  Oktober (138)
    • ►  September (190)
    • ►  Agustus (154)
    • ►  Juli (141)
    • ►  Juni (133)
    • ►  Mei (134)
    • ►  April (252)
    • ►  Maret (348)
    • ►  Februari (355)
    • ►  Januari (383)
  • ▼  2020 (4463)
    • ►  Desember (387)
    • ►  November (405)
    • ►  Oktober (348)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (435)
    • ►  Juli (433)
    • ►  Juni (372)
    • ►  Mei (244)
    • ▼  April (248)
      • TUKIWAPA THAMANI WACHEZAJI WETU, WATAFANYA MAKUBWA
      • International Racing: Friday 01 May 2020 – Gold Coast
      • International Racing: Friday 1 May 2020 – Sunshine...
      • International Racing Best Bets - Friday 1 May 2020
      • International Racing: Friday 1 May 2020 – Geelong
      • International Racing: Friday 1 May 2020 – Wagga
      • Hollywoodbets, Gagasi FM Promotion: Terms and Cond...
      • Modise: PSL title within Chiefs' grasp
      • Belarusian Premier League GW7 Preview
      • Why the Impact Index never gripped cricket fans
      • SOKA YA TANZANIA BADO NI RIDHAA, SI YA KULIPWA KAM...
      • International Racing: Thursday 30 April 2020 – Cairns
      • International Racing: Thursday 30 April 2020 – Wagga
      • International Racing Best Bets - Thursday 30 April...
      • International Racing: Thursday 30 April 2020 – Wyong
      • International Racing: Thursday 30 April 2020 – Pak...
      • This Week's Lucky Numbers Draws
      • EPL could be scrapped as Ligue 1 is effectively ca...
      • HARUNA HAKIZIMANA NIYONZIMA SASA MUME WA WAKE WAWI...
      • International Racing: Wednesday 29 April 2020 – Ascot
      • International Racing Best Bets - Wednesday 29 Apri...
      • Hollywoodbets account number plays part in BIG WIN!
      • International Racing: Wednesday 29 April 2020 – Wa...
      • Anthony Delpech - Happy Valley Preview - Wednesday...
      • KWA WENGINE BARAKOA NI YA KUFUNIKA PUA NA KINYWA, ...
      • MACHO YA WAPENDA KANDANDA HUPENDA KUTAZAMA SOKA SAFI
      • PAPY KABAMBA TSHISHIMBI ADHIHIRISHA MAPENZI YAKE K...
      • MLINDA MLANGO BENO KAKOLANYA ANAPOMAANISHA ANACHOK...
      • MIRAJ ATHUMANI MADENGE 'SHEVA' ANAVYOFANYA MAZOEZI...
      • IBRAHIM AJIBU MIGOMBA ANAVYOKAMUA KWA BIDII GYM KU...
      • International Racing: Wednesday 29 April 2020 – Ha...
      • Mosimane: We're trying to get a number-9
      • Rugby News: Monday 27 April
      • International Racing: Tuesday 28 April 2020 – Taree
      • MKALI WA MABAO LIGI KUU YA TANZANIA, MEDDIE KAGERE...
      • MSHAMBULIAJI WA AZAM FC BARAKA YUSSUF NI MMOJA WA ...
      • NAHODHA MSAIDIZI 'YANGA AFRIKA' JUMA ABDUL JAFFAR ...
      • KELELE ZA MPIGA KELELE AMBAYE HAONEKANI KATIKA SOK...
      • International Racing: Monday 27 April 2020 – Grafton
      • International Racing: Albany – Monday 27 April 2020
      • KUNA TATIZO ZAIDI YA IDADI YA WACHEZAJI WA KIGENI ...
      • Neil Morrice: International Racing Tips - Monday 2...
      • ISSA ATHUMANI NA MDOGO WAKE, KASONGO SIMBA NA YANG...
      • International Racing Best Bets & Tips - Sunday 26 ...
      • International Racing: Sunday 26 April 2020 – Tamworth
      • CRISTIANO RONALDO ANAVYOJIFUA 'KINYAMA' KUHAKIKISH...
      • KIUNGO MKENYA WA SIMBA SC, FRANCIS KAHATA NYAMBURA...
      • KIPA MKONGWE JUMA KASEJA ANAVYOJIFUA PEKE YAKE KUH...
      • MSHAMBULIAJI WA MTIBWA SUGAR, STAHMIL MBONDE ANAVY...
      • WASHAMBULIAJI WAWILI NDUGU, DANIEL NA MDOGO WAKE A...
      • International Racing: FWD Champions Day – Sha Tin ...
      • Heal The World - Performed by South African Jockeys
      • MRISHO NGASSA ALIPOCHANGAMKIA OFA YA VIFAA VYA MIC...
      • MNAJUA KWAMBA KIPRE TCHETCHE ALIYEKUWA AZAM NA KPA...
      • International Racing: FWD Champions Day
      • Hollywoodbets, Sharks, Gagasi FM Promotion Terms a...
      • Mosimane waiting for new Downs deal
      • QEII Cup 2005 - Delpech's Victory on Vengeance of ...
      • Mayambela has Amakhosi dream
      • KIUNGO WA SIMBA SC, SAID HAMISI NDEMLA ALIPOMSINDI...
      • MSHAMBULIAJI MZAMBIA, OBREY CHIRWA ASAINI MKATABA ...
      • International Racing: Friday 24 April 2020 – Canberra
      • Inernational Racing: Port Macquarie – Friday 24 Ap...
      • International Racing: Friday 24 April 2020 – Werribee
      • International Racing Best Bets - Friday 24 April 2020
      • AMBAVYO 'KAPTENI DIEGO', MBWANA ALLY SAMATTA YUKO ...
      • MKALI WAO, BERNARD MORRSON ANAVYOFURAHIA MAISHA KA...
      • FUNDI MZAMBIA WA SIMBA SC CLATOUS CHOTA CHAMA AKIJ...
      • Cape Town City prepare to cut player wages
      • International Racing: Friday 24 April 2020 – Gold ...
      • International Racing: Friday 24 April 2020 – Cranb...
      • Khoza: Finishing the season will be a challenge
      • Career evolution at the heart of Baartman move
      • International Racing: Thursday 23 April 2020 – New...
      • International Racing: Thursday 23 April 2020 – Bun...
      • International Racing Best Bets - Thursday 23 April...
      • International Racing: Kilmore – Thursday 23 April ...
      • International Racing: Thursday 23 April 2020 – Tow...
      • International Racing: Thursday 23 April 2020 – Pak...
      • MARCUS RASHFORD ANAVYOJIFUA KIVYAKE KUJIWEKA FITI ...
      • HATIMAYE UKARABATI WA UWANJA WA AZAM COMPLEX WAKAM...
      • UKISIKIA MAHABA NIUE, NDIYO HAYA YA HASSAN RAMADHA...
      • Belarus Premier League: Week 6 Preview
      • Count the Mascots Promotion: Terms and Conditions
      • Domestic cricket needs to see more of the top Proteas
      • International Racing: Wednesday 22 April 2020 – Ascot
      • International Racing – Bendigo – 22 April 2020
      • International Racing: Doomben - 22 April 2020
      • Anthony Delpech - Happy Valley Preview - Wednesday...
      • International Racing Best Bets - Wednesday 22 Apri...
      • International Racing: Canterbury - 22 April 2020
      • Phiri: Sundowns will complain if Chiefs are crowne...
      • International Racing: Happy Valley – Wednesday 22 ...
      • KZNCU announce semi-pro squads for next season
      • Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo akifanya ma...
      • KAPTENI KABISA, PAPY KABAMBA TSHISHIMBI NA NDUGU Z...
      • AMBAVYO SHAABAN IDDI CHILUNDA, NYOTA WA AZAM FC AN...
      • This Week's Lucky Numbers Draws
      • Mosimane: I grew up supporting Kaizer Chiefs
      • International Racing: Tuesday 21 April 2020 – Ball...
    • ►  Maret (355)
    • ►  Februari (392)
    • ►  Januari (450)
  • ►  2019 (4532)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (367)
    • ►  Oktober (420)
    • ►  September (394)
    • ►  Agustus (411)
    • ►  Juli (364)
    • ►  Juni (318)
    • ►  Mei (360)
    • ►  April (382)
    • ►  Maret (419)
    • ►  Februari (365)
    • ►  Januari (404)
  • ►  2018 (5483)
    • ►  Desember (328)
    • ►  November (450)
    • ►  Oktober (535)
    • ►  September (484)
    • ►  Agustus (487)
    • ►  Juli (481)
    • ►  Juni (431)
    • ►  Mei (483)
    • ►  April (393)
    • ►  Maret (435)
    • ►  Februari (419)
    • ►  Januari (557)
  • ►  2017 (5921)
    • ►  Desember (477)
    • ►  November (567)
    • ►  Oktober (506)
    • ►  September (518)
    • ►  Agustus (555)
    • ►  Juli (535)
    • ►  Juni (465)
    • ►  Mei (471)
    • ►  April (459)
    • ►  Maret (448)
    • ►  Februari (441)
    • ►  Januari (479)
  • ►  2016 (2138)
    • ►  Desember (445)
    • ►  November (509)
    • ►  Oktober (482)
    • ►  September (466)
    • ►  Agustus (236)
Diberdayakan oleh Blogger.
Home » BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE » KELELE ZA MPIGA KELELE AMBAYE HAONEKANI KATIKA SOKA LETU

KELELE ZA MPIGA KELELE AMBAYE HAONEKANI KATIKA SOKA LETU

Na Dominick Salamba, DAR ES SALAAM
BAADA ya kufungua macho yangu na kuianza asubuhi yangu ya jumatatu hii, hakika ilikuwa asubuhi yenye staili ya kipekee kabisa.
Niliwaza mambo mengi huku nikitafakari kile kinachoendelea Duniani kote juu ya hili janga la Corona,sikuishia hapo nikawaza kwa namna tunavyoendelea kukosa burudani za soka kila wikiendi na zile za kati ya wiki,ila mwisho wa siku nikajifariji kwakuwa afya ni zaidi ya chochote.
Ilinibidi kuamka na kuachana na shuka lililokuwa likiniingiza kwenye limbi zito la mawazo.
Turudi kwenye mada yetu, kwenye hoja yetu  sidhani kama kuna mtu anaweza kupinga hili pale tunapo wazungumzia wadogo zetu kina Baraka Majogoro, Zawadi Mauya, Yassin Mustapha, Yussuf Mhilu, Marcel Kaheza, Jaffar Kibaya, Hassan Kibailo na wengineo, msimu huu walikuwa kwenye kiwango bora kabisa.

Hakika wamezisaidia sana timu zao,hakika walistahili kuvaa jezi za timu zao na kuwa sehemu ya vikosi vya kwanza vya timu zao,wamepambana mno na kwenye hilo hakuna ubishi, na kama unakubaliana na mimi, basi endelea kufuatilia nilichokuandalia leo.
Kila nchi ina sera yake ya namna ambavyo inaendesha mpira wake lakini wakati huo kukiwa na muongozo mmoja ambao kila anayeendesha mpira kwenye nchi yake anapaswa kuufuata na si vinginevyo,na muongozo wenyewe ni ule unaotolewa na shirikisho lenye mpira wake duniani yaani FIFA.
Shirikisho hilo lina taratibu zake ambazo ni lazima zifuatwe na wanachama wake, lakini bado kila mwanachama wa Fifa ana uwezo wa kutunga kanuni ndogo ndogo kulingana na mazingira ya nchi husika mambo kama mfumo wa ligi,usajili,ratiba ya mashindano na kanuni zingine zinazo husu mashindano. 
๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰Hapa ndipo panaponifanya nawaza sana hasa ninapokumbuka viwango bora vya kina Majogoro walivyoonyesha msimu huu,napata wakati mgumu sana kulikubali hili ambalo kila uchwao linaibuka na kupotea kana kwamba kuna kikundi cha watu kinachotumwa kufanya ushawishi wa jambo lenyewe na wakikosa sapoti hukaa kimya na kuibuka wakati mwingine.
๐Ÿค๐ŸพMoja ya vipengele ambavyo FIFA hawawezi kujaribu kupoteza muda wao kufuatilia ni idadi ya wachezaji wa kigeni wanaotakiwa kushiriki ligi ya nchi yoyote ile, Mfano mzuri ni kwa sisi watanzania tulianzia kwenye wachezaji watatu tu wa kigeni,tukaja kwenye kusajili watano alafu wacheze watatu,na sasa tupo kwenye wachezaji kumi na wanacheza wote inategemea na mahitaji ya mwalimu wa timu husika na mipango yake.๐Ÿ‘†
๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ๐Ÿ‘‰๐ŸฝKutokana na hili la wachezaji kumi uku wakitumika wote hivi sasa kumekuwa na kelele zisizojulikana zinatoka wapi, mpaka sasa hatujui kama ni msimamo wa  Serikali kupitia waziri mwenye dhamana na michezo au shirikisho la mpira wenyewe au vilabu vinavyoshiriki ligi kuu kuwa pengine ndio wenye hizi kelele ambazo uwa zinakuja na kupotea uku mwenye kelele hasa akiwa hajulikani yupo wapi na anasimama na hoja gani nzito juu ya hili.
Kwenye mpira wetu au ndio tutauzamisha kabisa mpira wetu ambao unaonekana kusogea kwa kiasi fulani ukilinganisha na miaka 15 nyuma,sitaki kuamini kuwa nchi yenye ligi ya Timu 20 ambazo zinaruhusiwa kusajili wachezaji 30 kwa kila timu na kupelekea kuwa na jumla ya wachezaji 600 katika ligi kuu huku wachezaji wa kigeni wakiwa hawazidi 50 alafu bado ionekane wapo wengi na wanachangia kufifisha soka letu sitaki kuliamini hili.
๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ๐Ÿ‘‰๐ŸฝWakati nikiwaza zile pesa wanazolipiwa wachezaji wa kigeni ili kupata vibali vya kucheza soka hapa kwetu,achana na mzunguko wa kifedha kutokana na uwepo wao hapa kwetu mbali na kuwa kama sehemu ya kulitangaza Taifa letu duniani kote.
Kabla hujanipa jibu la tafakari yako kuhusu jambo hili, nakupeleka kidogo pale Congo, hapa ndipo tunapoweza kujifunza kwa mfano halisi na unaoishi.
Wakongomani waliamua kuondoa vikwazo kama hivi ambavyo waligundua kuwa havitausaidia mpira wao kwenye harakati za kutoka sehemu moja ya kimaendeleo kwenda kwingine, wao wakaamua kwenye mpira wao kusiwe na idadi ya wachezaji wa kigeni,timu zisajili tu kadri zinavyoweza ikibidi timu nzima iwe na wageni watupu, tujiulize kitu kimoja,tunadhani Kongo wakifanya maamuzi hayo hapakuwa na wachezaji wazawa? Nani asiyemjua Tresso Mputu? Deo Kanda? Makusu Mundele? au yule kipa mwenye rikodi zake yaani Kidiaba!! na wakongomani wengine kibao wanaocheza soka la kulipwa barani ulaya,wenzetu walikataa kuwalemaza wachezaji wao wakiamini kuwa uwepo wa wachezaji wa kigeni kutawapa changamoto na kujituma zaidi ili kufika mbali katika maslahi yao pamoja na ya Taifa kwa ujumla.
Waliamini kuwa kama wewe ni raia wa Kongo na unautaka kweli mpira basi ni lazima upambane, utaonandogondogo Afrika utawakuta wapo wa kutosha.
๐Ÿคœ๐Ÿฟ๐Ÿคœ๐ŸฟBaada ya kupata jibu la tafakuri yako na mfano hai niliokupa kuhusu Wakongomani njoo sasa tujadili yanayotuhusu.
Kwangu mimi jambo baya kabisa katika maisha ni kuamua kwenda kusikojulikana huku ukiamua kujificha kwenye kivuli cha ule msemo wasemao waswahili kuwa maisha ni popote, ni kweli inaweza kuwa hivyo lakini hupaswi kuamini sana anachokisema mswahili, uhitaji sababu nyingine yoyote ya kutokumuamini isipokuwa maneno yake mengi, ukweli ni kwamba tunahitaji vijana wetu wapate nafasi ya kucheza mda mwingi, lakini sababu kubwa ya mahitaji yetu ni kupata timu bora kabisa ya taifa,sidhani kama hilo tutalifikia kwa kuwapunguza wachezaji wa kigeni ili tu vijana wetu wacheze, kama ni kweli tunataka timu bora ya taifa tuweke misingi imara ya kuwandaa wachezaji tangu wakiwa watoto ili waweze kumudu vizuri soka la ushindani linaloendelea kwa kasi kubwa sana,kama wachezaji wetu wanataka kucheza basi washindane na wageni ili kupata nafasi ya kucheza na si kuwabeba kwa kuwaondoa wageni,hatutofika popote.
Ngoja nikupe mfano ulio hai , pale simba walisajili mtu kweli kweli kwenye eneo la kiungo mkabaji,nani asiyemkumbuka James Kotei? Pamoja na ubora wake wote lakini bado Jonas Mkude Alipata nafasi ya kucheza na kuwafanya baadhi ya makocha kuhama kwenye staili ya kutumia kiungo mmoja mkabaji na kujikuta wanawatumia wote(double pivot), akaja Gerson Fraga lakini Mkude bado anaonekana kuwa vizuri zaidi,Mkude huyu kwa nini asikusaidie kwenye timu ya taifa?
Pale Yanga wakati Simon Msuva yupo alicheza mbele ya wachezaji wa kulipwa na wenye majina makubwa, ilikuwa Yanga yenye ushindani mkubwa sana, Donald Ndondo Ngoma(DNN), Obrey Chora Chirwa (OCC) pamoja na Amisi Tambwe lakini bado Simoni Msuva alipenya na kukiwasha vibaya mno pale Yanga na leo wote ni mashahidi mahali alipo Msuva na bado anaendelea kukaza buti katika soka la ushindani.
Kama tutaufurahia ubora ulioonyeshwa na kina Baraka Majogoro, Mauya Gift, Yasini Mustapha, Kaheza, Kibaya,Mwashilindi na wengineo na kudhani njia salama ya kuwabakisha kwenye ubora wao ni kuwaondoa wachezaji wa kigeni basi tutakuwa tunafeli mno,badala yake ni kuhakikisha tunabadili mitazamo ya hawa vijana lazima wawe na njaa ya mafanikio,lazima wamtamani Mbwana samatta na pengine wawaze zaidi ya Samatta ,lakini kama watazawa kununuliwa Toyota brevis,kupangiwa nyumba Tabata na kuandikwa kwenye magazeti yetu kwa usajili wa milion 20,30 au 50 kwa mikataba ya miaka 2  basi hata tuwaondoe wageni wote hakuna tutakapo fika.
Tunapaswa kujua kuwa ubora walionao vijana wetu kwa sasa umechangiwa kwa kiasi kikubwa mno na uwepo wa wachezaji wa kigeni kwenye ligi yetu, anachokifikiria Iddi Mobi au Nondo Mwamnyeto kuelekea kwenye mchezo dhidi ya simba ni namna ambavyo wanaweza kumdhibiti Meddie Kagere,Kahata au Mikissoni, wachezaji wa viwango vya juu mno ambao kama tutawapunguza au kuwaondoa kwenye ligi yetu basi moja kwa moja tutamuathiri Mobi na wenzake na kujikuta tunayumba sana,Mwamnyeto huyu anayeshindana na kina Kagere na Morisson kwa nini asiwe bora? wakati anashindana na wachezaji wenye ubora mkubwa?
Tusiwe watu wa kuishi kwa tafakari nyepesi,tusitafute majibu mepesi kwa maswali magumu hakuna njia ya mkato katika hili lazima tukubali kutengeneza misingi soka lianzie chini,tupate vituo vingi vya kukuza vijana wetu,tupate waalimu wengi kwenye soka la vijana ambao wamesoma mtaala mmoja tena katika vyuo vinavyotambulika na ziwe kozi za muda mrefu sio hizi za wiki tatu hapo tutasogea kwelikweli.
Ila kuendelea kumpigia debe Kichuya acheze mbele ya ubora walio nao Mikisson,Kahata na Kanda au Rafael Daudi acheze mbele ya Niyonzima,huku Dante acheze mbele ya Lamine kisa utanzania wake si kuwajenga vijanja wetu ila ni kuwapoteza,njia pekee ya kuwasaidia ni kuwaambia wajitume zaidi na kuwashawishi waalimu wao kwani hakuna mwalimu anayependa kupoteza mechi.Wote tunakumbuka kiungo wa Yanga Feisal Salumu alikuja vizuri alafu akapotea na ameongeza bidii leo hii anapata nafasi mbele ya Viungo wa kigeni kwa anafanya kazi ya maana uwanjani.
Asanteni sana na tuendelee kuwa makini maana Korona ipo na inazuilika,tuendelee kuchukua tahadhali, tukutane wiki ijayo.

(Dominick Salamba ni mchambuzi wa soka anapatikana pia kupitia katika Akaunti yake ya instagram kama @dominicksalamba au namba ya simu)


from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2YkM75x best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm, lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today, mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma, mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer, mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney, mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390, mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Tweet

Terimakasih anda telah membaca artikel tentang KELELE ZA MPIGA KELELE AMBAYE HAONEKANI KATIKA SOKA LETU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/04/kelele-za-mpiga-kelele-ambaye-haonekani.html. Terimakasih atas perhatiannya.

Related Posts

di 02.18
Label: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE

{ 0 komentar... read them below or add one }


Posting Komentar

Posting Lebih Baru Posting Lama Beranda

Popular Posts

  • MSHIRIKI MISS AFRIKA UINGEREZA AHADITHIA MAMBO YALIVYO
    MSHIRIKI MISS AFRIKA UINGEREZA AHADITHIA MAMBO YALIVYO
    MTANZANIA Alice Gyunda miongoni mwa washiriki 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika waliofanikiwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha taj...
  • BARCELONA 3-1 ALAVES
    BARCELONA 3-1 ALAVES
    from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2s2Iqyx
  • TUZO ZA LIGI KUU ZABORESHWA, SASA WACHEZAJI KUPEWA NA KING'AMUZI CHA AZAM TV
    Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB) Boniface Wambura, akionyesha tuzo atakayokuwa akipewa Mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya Vod...
  • ARSENAL YAMUONGEZEA MSHAHARA SANCHEZ ASIENDE BAYERN MUNICH
    KLABU ya Arsenal imempa ofa nyingine mshambuliaji wake, Alexis Sanchez aachane na mpango wa kwenda Bayern Munich na abaki Emirates. Ofa mp...
  • EPL: Week 36 Preview
    EPL: Week 36 Preview
    We preview week 36 of the 2017/18 English Premier League season which is set to get underway on Saturday 28 April.  We’re into the final s...
  • Woolavington 2000 - Final Field
    View the final field and betting for the Grade 1 Woolavington 2000 at Greyille this Saturday 3 June 2017. The final field for the Woolav...
  • NFD: Week 20 Preview
    NFD: Week 20 Preview
    This will be a tricky week in the GladAfrica Championship with some of the teams having the Nedbank Cup last 32 action in mind. However, I...
  • CHELSEA YAREJEA KILELENI ENGLAND
    CHELSEA YAREJEA KILELENI ENGLAND
    BAO pekee la beki wa kimataifa wa England, Ben Chilwell dakika ya 45 limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Brentford Uwanja wa...
  • Cup Finals Weekend Preview
    We take a look at this weekend's big European Cup Final ties. Most of Europe’s big leagues are done and dusted but there’s still the...
  • YANGA YAWASIMAMISHA NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO
    YANGA YAWASIMAMISHA NTIBANZOKIZA NA AMBUNDO
    KLABU ya Yanga imewasimamisha wachezaji wake wawili, Dickson Ambundo na Mrundi Saido Ntibanzokiza kuelekea mechi ya Fainali ya Kombe la S...
Copyright Viral Sports: KELELE ZA MPIGA KELELE AMBAYE HAONEKANI KATIKA SOKA LETU