Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga SC, Bernard Morrison atajiunga na wenzake mara kikosi kitakaporejea Dar es Salaam kesho kutoka Dodoma.
Yanga SC leo wanatarajiwa kuwa wageni wa JKT Tanzania katika mchezo wa kiporo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara utakaopigwa Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Na Morrison hakusafiri na wenzake wiki iliyopita kwa mechi mbili za ugenini, ikiwemo na ile waliyoshinda 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage kutokana na kuwa mejeruhi.
Bernard Morrison (kushoto) akiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga SC, Wakili Simon Patrick (katikati) makao makuu ya klabu, Jangwani jana
Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga SC, Wakili Simon Patrick amesema kwamba jana alifanya mazungumzo na Morrison makao makuu ya klabu, Jangwani na kukubaliana kesho ajiunge na timu.
Na Patrick ambaye pia ni Mkurugenzi wa Sheria na Wanachama atakaimu nafasi hiyo alifanya hayo siku moja tu baada ya kuteuliwa kukaimu nafasi ya Dk David Luhago aliyeondolewa kazini baada ya majadiliano ya pande zote mbili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3fBvveP
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms