Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KAMPUNI ya Azam Media Limited imetangaza rasmi kwamba msimu huu itaonyesha Ligi Kuu ya Ujerumani, maarufu kama Bundesliga ambayo inatarajiwa kuanza Septemba 18, mwaka huu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo makao makuu ya Azam Media Limited, Tabata TIOT Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Azam Media, Yahya Mohamed amesema kwamba wataonyesha Bundesliga kwa matangazo ya lugha ya Kiswahili kupitia kifurushi cha shilingi 18,000.
“Tutaonesha Bundesliga katika kiwango cha HD kwa lugha ya Kiswahili kupitia kifurushi cha shilingi 18,000. “Mechi zote 360 tutazionyesha” amesema.
 |
| Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Azam Media, Yahya Mohamed akizungumza leo |
Kwa upande wake mtangazaji nguli wa mpira, Charles Hillary ambaye ni Mkurugenzi wa kituo cha Redio cha UFM kinachomikiliwa na Azam Media pia alisema kwamba Watanzania watarajie burudani nzuri ya Bundesliga kwa sababu ni Ligi kubwa kihistoria.
“Bundesliga ilianza mwaka 1963, Ujerumani ni taifa la wapenda kandanda, sisi kwa kuangalia hilo tumeamua kuwaletea burudani ya wapenda kandanda. Wachezaji wetu wa Tanzania wakiangalia hii, kuna mengi watajifunza” amesema Charles Hilary.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3kj89Nx
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms