SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limemfungia miezi sita kiungo wa Namungo FC na kuitoza faini ya dola za Kimarekani 127, wastani wa Shilingi Milioni 290 klabu yake ya zamani, Simba SC.
Hatua hiyo malalamiko ya klabu ya zamani wa mchezaji huyo, Pharco ya Misri ambao wamedai mchezaji huyo hakufuata taratibu za kuondoka.
Kaimu Mwenyekiti wa Simba SC, Mwina Kadugua amesema kwamba wamepoka taarifa hiyo na wanamsubiri Mwenyekiti wao wa Bodi, Mohamed 'Mo' Dewji aitishe kikao, lakini wanaamini kila kitu kitakwenda sawa.
Jan 31, mwaka jana Simba SC ilimuuza Kichuya klabu ya Pharco ya Daraja la Kwanza ambayo ilimpeleka kwa mkopo ENPPI ya Ligi Kuu ya Misri.
Hata hivyo, baada ya msimu Kichuya alitakiwa kurejea Pharco na ndipo alipotofautiana na klabu yake hiyo, kabla ya kuripotiwa kurejea Simba SC Januari mwaka huu, ambayo nayo baada ya nusu msimu ikaachana naye akaibukia Namungo FC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3qKgZrB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms