Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi, Simba SC leo wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unaifanya timu hiyo ya kocha Mbelgiji, Sven-Ludwig Vandenbroeck ifikishe pointi 32 baada ya kucheza mechi 14, sasa ikizidiwa pointi tano na vinara, Yanga SC ambao hata hivyo wamecheza mechi moja zaidi.
Haukuwa ushindi mwepesi kwa Wekundu wa Msimbazi hivi leo, kwani walilazimika kusubiri hadi dakika ya 76 kupata bao hilo, mfungaji akiwa ni mshambuliaji Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda, Meddie Kagere.

from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3r285WL
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms