Mshambuliaji Mbrazil Neymar akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao matatu katika ushindi wa 5-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Istanbul Basaksehir kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes, Jijini Paris.
Neymar alifunga mabao yake dakika za 21, 38 na 50, wakati mabao mengine ya PSG yamefungwa na Kyllian Mbappe kwa penalti dakika ya 42 na 62 na la Istanbul Basaksehir lilifungwa na Mehmet Topal dakika ya 57.
Mechi hiyo ilivunjika juzi baada ya wachezaji wa Istanbul Basaksehir kugoma wakimlalamikia refa wa akiba, Mromania Sebastian Coltescu kumtolea kauli za kibaguzi kocha wao Msaidizi, Pierre Webo
PSG imemaliza na pointi 12 sawa na kuongoza Kundi H ikiizidi kwa wastani wa mabao tu RB Leipzig na zote zinakwenda Hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3lZjO4t
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms