ALIYEKUWA kocha wa Simba SC, Mbelgiji Sven Ludwig Vandenbroeck amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na ASFAR Rabat ya Morocco.
Vandenbroeck amejiunga na timu hiyo Rabat siku moja mbili baada ya kuondoka Simba SC akitoka kuiwezesha kufuzu Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Jumatano ikiitoa FC Platinum kwa jumla ya mabao 4-1.
Katika kipindi cha mwaka mmoja na ushei wa kuwa na Simba, Vandenbroeck ameiwezesha timu hiyo kushinda mataji matatu, Ngao ya Jamii, Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC),
Alijiunga na Simba SC Desemba 15 mwaka 2019 akichukua nafasi ya Mbelgiji mwenzake, Patrick Aussems.
Vanderbroeck, mwenye umri wa miaka 41 anaondoka Simba SC baada ya kuiongoza timu kwenye mechi 69 za mashindano yote, zikiwemo za kirafiki na kushinda 53, sare 10 na kufungwa sita tangu awasili Desemba 15 mwaka juzi, 2019.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3s8FeQV
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms