MOROCCO imeanza vyema Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Togo 1-0 kwenye mchezo wa Kundi C Uwanja wa Reunification Jijini Douala.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee , Yahya Jabrane kwa penalti dakika ya 27 Uwanja wa Reunification Jijini Douala na sasa Morocco wanaongoza kundi hilo baada ya jana Rwanda kulazimishwa sare ya 0-0 na Uganda.
Michuano hiyo inaendelea leo kwa mechi nyingine mbili za Kundi D, Tanzania na wa Zambia Saa 1:00 usiku na na Guinea na Namibia kuanzia Saa 3:00 usiku.
Baada ya leo, Taifa Stars itarudi uwanjani Januari 23 kumenyana na Namibia kabla ya na kukamilisha mechi zake za Kundi D kwa kucheza na Guinea Uwanja wa Reunification, Douala Januari 27.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3sxdd5Q
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MOROCCO YAANZA VYEMA CHAN, YAICHAPA TOGO 1-0. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2021/01/morocco-yaanza-vyema-chan-yaichapa-togo.html. Terimakasih atas perhatiannya.