BAADA ya kuwa nje tangu Novemba mwaka jana, Nahodha wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta juzi alirejea uwanjani na kuisaidia klabu yake, Fenerbahce kutinga Robo Fainali ya Kombe la Uturuki kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Kasımpasa.
Na ni Samatta, mchezaji wa zamani wa African Lyon, Simba SC za nyumbani, Dar es Salaam, TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), KRC Genk ya Ubelgiji na Aston Villa ya England aliyefunga bao hilo pekee dakika ya 51 akimalizia pasi ya beki Caner Erkin.
Samatta aliumia Novemba 7, Fenerbahce ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Konyaspor katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uturuki na nafasi yake kuchukuliwa na Ferdi Erenay Kadioglu dakika ya 69.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3nPP7zV
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms