Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
SIMBA SC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar usiku wa leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Pongezi kwa wafungaji wa mabao hayo, Hassan Dilunga dakika ya sita na Miraj Athumani ‘Madenge’ dakika ya 36 na kwa ushindi huo, Simba SC inamaliza kileleni mwa Kundi B.
Katika mchezo uliotangulia, mabao ya Erick Kwizera dakika ya 41 na Stephen Sey dakika ya 52 yaliipa ushindi wa 2-0 Namungo FC dhidi ya Jamhuri katika mchezo wa Kundi A.
Kwa matokeo hayo, Namungo inamaliza nafasi ya pili kwenye kundi hilo na kutinga Nusu Fainali ikiungana na vinara wa kundi, Yanga SC waliomaliza na pointi nne.
Sasa Namungo FC itamenyana na Simba SC katika Nusu Fainali, wakati Yanga SC watasubiri mshindi wa mechi ya Kundi C kesho baina ya Azam FC na Malindi SC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/35mFodO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms