Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
VIGOGO, Yanga SC wamefanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90 usiku wa leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Shujaa wa Yanga SC kwenye mchezo wa leo ambao mgeni rasmi alikuwa Rais mpya wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi alikuwa ni kipa Farouk Shikaro aliyeokoa penalti ya mwisho ya Simba iliyopigwa na Mkenya mwenzake, beki Joash Onyango.
Penalti za Yanga SC leo zimefungwa na Mkongo Tuisila Kisinda, Abdallah Shaibu ‘Ninja’, Zawadi Mauya na Mrundi Said Ntibanzokiza, wakati Mkongo mwingine, Mukoko Tonombe iliokolewa na kip Beno Kakolanya wa Simba.

from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3spnJfB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms